KIPIGO CHA YANGA PRINCESS CHAIVURUGA UONGOZI YANGA

Ligi kuu ya wanawake imeendelea leo kwa mchezo mmoja kupigwa katika uwanja wa uhuru jijin Dar es salam, Mchezo huo umemalizika kwa simba Queens kuibuka na ushindi mnono wa magoli matatu kwa sifuri. matokeo hayo yameendeleza sintofahamu katika uongozi wa klabu hiyo mara baada ya jana yanga sc ile ya wanaume kupokea kipigo cha magoli